



Call Us: +255 784 618 320
Email: president@tpntz.org
Kwa muda mrefu sasa jamii yetu imekumbwa na migogoro na migomo ya mara kwa mara katika sekta mbalimbali ikiwemo Afya, Elimu n.k.
Na inaonekana kwamba hali hii inataka kuzoeleka na kuonekana ni hali ya kawaida, na kama haitathibitiwa kwa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu basi inaweza ikalifikisha Taifa letu mahali pabaya na kupunguza kasi ya ukuaji wa uchumi na hivyo kuathiri mikakati ya kupunguza umasikini.
Kwa sasa dunia nzima iko katika hali tete kutokana na kudorora kwa uchumi na baadhi ya nchi ukuaji wa uchumi umesimama au umeshuka sana hivyo kwa namna moja au nyingine nchi zetu pia zinaathirika na hali hii kwa njia moja au nyingine.
Kwa kuzingatia hali hiyo sisi wanataaluma tunaona kwamba kwa sasa rasilimali tulizonazo ikiwemo watu, ardhi, maliasili n.k tuzitumie vizuri ili zitusaidie kupambana na janga hilo.
Kwa hali hiyo ni dhahiri uwezo wa serikali kugharamia baadhi ya huduma utapungua hivyo basi tunaomba kwa sasa wananchi waelewe hali hivyo na ni jukumu letu sote sasa kushirikiana kupambana na changamoto hizo.
Chanzo kimojawapo cha migomo na migogoro hiyo ni kupungua kwa mawasiliano miongoni mwa wadau husika hivyo kusababisha upande mmoja kutojua au kutohusishwa katika kututua tatizo husika.
Hivyo basi tunashauri wadau wote yaani serikali, viongozi, watendaji wa wizara na taasisi mbalimbali wakae na washirikishane katika sehemu zao za kazi na kupashana habari kwa muda muafaka.
Kuhusu tatizo linaloendelea kwa sasa katika sekta ya afya tunawapa pole nyingi sana watanzania wote waliopoteza maisha na waliaothirika kwa namna moja au nyingine kutokana na athari za mgomo huu.
Baadhi wa waliaothirika yaani wagonjwa na baadhi ya madaktari ni wanachama wetu.
Sisi kama wanataaluma tunaipongeza serikali kwa hatua zilizochokuliwa hadi sasa za kupunguza athari za tatizo hili japokuwa bado sehemu nyingine hali bado haijatengemaa lakini ni matumani yetu kila mtu atatimiza wajibu wake kwa mujibu wa taaluma zao.
Tunaiomba Serikali iharakishe mazungumzo na madaktari na itoe ahadi ya kutekeleza madai ya madaktari kadri uwezo utakavyoruhusu
Tunaiomba Serikali ifikire upya uamuzi wake wa awali wa kuwafukuza kazi wale madaktari ambao walikuwa bado hawajaripoti kazini kama agizo la Mh. Waziri Mkuu lilivyoelekeza badala yake tunashauri hatua nyingine za kinidhamu zichukuliwe badala ya kuwafukuza kazi, kwa sasa bado nchi ina upungufu mkubwa wa wataalamu katika sekta hii.
Tunawashauri madaktari wote nchini wakati madai yao yakishughulikiwa warejee katika maeneo yao ya kazi na wafanye kazi kwa bidii na maarifa yao yote, waonyeshe uzalendo kwa nchi yao.
Wale wote walitajwa katika taarifa mbalimbali kwa tuhuma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushindwa kuwajibika kwa kutoa kauli zilizochochea au kukuza mgogoro huu basi waombe radhi mara moja na kama wakishindwa basi hatua za kinidhamu zichukuliwe haraka dhidi yao.
Tunaomba watanzania wote, viongozi, watendaji wa Taasisi za umma na binafsi tuwe waadilifu tuzingatie dhana ya utawala na uongozi bora, tuwe wazalendo wa kweli na tuweke mbele Utaifa na maslahi ya walio wengi.
Phares Magesa
Rais- TPN
Tanzania Professionals Network (TPN) will present the first ever summit to bring together professionals to analyse their role in bringing solutions in our country’s development.
TPN is a voluntary, non-profit member-based organization seeking to enhance the role of professionals in transforming the Tanzanian society.
TPN’s major role is to influence decisions made at different levels of both public and private sector through analysis using existing research trends and popular interest.
TPN CONSIDERS itself a key stakeholder of Tanzania’s development, and has since its inception been working towards mobilizing Tanzanian professionals to rally together in active participation in decision making, implementing and supporting good policies while ensuring that they also support non professional Tanzanians in economic and social development.
TPN has decided to organize the professionals’ summit to discuss the achievements and challenges of Tanzania since independence, and what role professionals have played in this long journey. The postmortem will guide plans for TPN going forward.
The Summit will bring together Professionals from different backgrounds, policy makers, politicians, and captains of industry to discuss their joint roles in critical and constructive discussions while providing solutions for moving the country forward.
The summit will aim to achieve the following objectives:
On the event day, the following activities shall be carried out;
Presentations from selected speakers/panellists, which will cover four key topics as follows:
1. Regional Integration: Equitable distribution of Resources and Opportunities in Education, Trade and Employment.
Proposed Speaker/Instigator Prof. Palamagamba Kabudi.
The Question that TPN is seeking answers from Tanzanians is” Do Tanzanians have what it takes to be competitive in the regional and International labour market?
There will be Panelists to discuss the subject matter and provide their own inputs before the floor opens up to the participants to discuss.
2. Managing Investment and land Issues. To What extent should Professionals influence policy in Land and Investment?
Proposed Instigator Mr. Yefred Myenzi The Executive Director of HakiArdhi.
Panelists will be drawn from stakeholders in the area in public, private multinational and CSO backgrounds:
3. Professionalism and Ethics: A cost benefits analysis of compromising professionalism and ethics. Instigator Mr. Ali Mufuruki
Panelists: will be representative of private professional institutions, Government departments, Human rights organisation and a Citizen affected by corruption.
4. What reforms do we need in our education system to be competitive in the global arena? Instigator: Rakesh Rajani.
Panelists are picked from Academia, Manufacturer, service providers, Commercial banks, Private consulting firms etc.
These topics have been carefully chosen because Tanzania is now engrossed in a web of malcontent among a majority of the populace from dissatisfaction with the pace and level of development compared to countries in the region and in the rest of the world who began their journey at independence with the same level of development but have since moved so rapidly in their development they are middle income countries while Tanzania is still a least developed country while it has comparatively more and better resource endowments. The issue becomes where Tanzania went wrong and what can we do to remedy the situation. It is important to discuss policies and Practices on investment, education, regional integration and the whole issue of how these investment decisions are reached, how investment is used to develop Tanzania or otherwise and the whole discussion around professionalism and ethics that speak to how laws and regulations are abided to and how transparency and governance guide the economic activities overall and most importantly how the driving force of all strategies and policies is people’s development as a whole.
Discussion of these issues is expected to generate some statements to government as well as Tanzanian professionals and the public at large. Professionals will be asking themselves what have they been doing to ensure a sustainable development of our country and what could they have done better and what are their plans to be more active participants in the development of Tanzania 50 years ahead? Government will be expected to be shown how best to engage the brain power among its people while the community is going to see how professionals can be of benefit to society at large.
The Summit is expected to launch an Award that will annually recognise prominent individual professionals who have done something significant in society under a set of criteria to be developed by society. This year the Award will be in recognition of the Father of the Nation the Late Mwl. Julius Kambarage Nyerere for His support in using His profession to mobilise for the independence of Tanzania and promotion of professional development.
We have requested H.E. Jakaya M. Kikwete, The President of the United Republic of Tanzania to be the guest of honour. We do hope that He will have the time to grace the occasion.
The total target number of participants is 500 people.
Date: Sunday 04th December 2011; Venue: Mlimani City, Time: 9am-7pm
Entrance Fee of T Shs 20,000 will be paid by Non Members and while for TPN Members it will be FREE.
For more details contact:
Ms. Janet Mbene, Secretary General-TPN,
Email: Maorchid@gmail.com,
Mobile: +255 784 596444, +255 755 067 594.
Thank you,
Phares Magesa
President-TPN,
E-mail: magesa@hotmail.com
Posted by (0) Comment
The Constitution of TANZANIA PROFESSIONALS NETWORK
Revised on: 31st August 2008
Tanzania Professionals Network
P.O. Box 21605
Dar Es Salaam
Posted by (0) Comment
The Executive Committee Operations Report for the year 2007/2008; presented at the 2nd Annual General Meeting of TPN held on Sunday 31st August 2008 at British Council Front From 2.00 PM as Presented by TPN President Mz. Sanctus Mtsimbe.
Posted by (0) Comment
On behalf of TPN Executive Committee; I would like to invite you for the New Year Get Together Occasion to be held on Saturday 28th February 2009 from 5.00 PM at Mwanzo Park Lodges near Kongowe.

The reason for holding the Get-Together there is to support our own Mzalendo of TPN and active member who has Invested on something very exceptionally and of which all of us I know for sure we will be proud of. Let us all turn up in numbers to support him. We can arrange for a common transport for those who needs one. Mzalendo Peter Vava is our host and will add more input to this.
Of the most interesting thing in this event apart from dinner, dance and live night, we will have an opportunity of witnessing a NEW ERA of TPN Direction. Our own brother and Sisters in Diaspora would like to come back home in December 2009 for a SUMMITT and meet “US” Local Partners with our planned projects or existing projects so that we can join hands and run projects jointly. Many of them can support the projects in contributing the capital as well as expertise and link to the overseas markets. Please do not plan to miss as we will have a high profile and very brief presentation. TechnoServe, please invite all those who participated in Business Plan Competition too. It is a golden opportunity to link.
There will be a lot of other interesting events. It is a night to remember and please do not plan to miss it. I would kindly request you to confirm to me by EMAIL or even SMS on my Mobile 0754 833 985. Don’t forget to write your name please. Contribution is TZS 25,000 or TZS 40,000 Per couple.
Our friend and Matron Dr. Maua Daftari and her Invited Guests will all be with us.
With very warm and kind regards
Sanctus Mtsimbe
President
Tanzania Professionals Network
Posted by (0) Comment
Mgeni Rasmi Mzalendo Samueli Sitta, Spika wa Bunge na
Viongozi wa TPN wakijadiliana jambo
Mtandao wa Wanataaluma na Wasomi Tanzania (Tanzania Professionals Network – TPN), ulifanya Hafla ya Kutunisha Mfuko wa Ujasiliamali na Uwezeshaji wa Kiuchumi. Hafla hiyo ilifanyika, Jumapili Tarehe 18 Novemba 2007, Viwanja vya Karimjee, Kuanzia saa 10.00 Jioni. Mh. Samuel Sitta, Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano alikuwa Mgeni Rasmi.
Katika Hafla hiyo TPN iliandikisha wanachama wapya. Pia katika hafla hiyo TPN iliwatambua na Kuwatunukia makampuni mawili ya Wanataaluma Wajasiliamali na Mwanataaluma mmoja Mwajiriwa ambao wamekuwa ni mfano wa kuigwa kwa Wanataaluma wengine.
Emec Engineering Limited (www.emec.co.tz) na Fulltime Security Services Limited (www.fulltimesecurity.net) walitunukiwa vyeti na tuzo ta Wajasiliamali Wanataaluma Waliofanya vizuri. Walianzisha kampuni zao miaka michache iliyopita bila mitaji wala mjomba au benki ya kuwasaidia fedha. Walianza kwa taabu sana. Lakini kwa Ujasiliamali wao waliweza kuonyesha bidii kubwa na leo Makampuni yao ni mmoja ya Makampuni Makubwa Sana yanayoheshimiwa kiasi cha kuwa tishio kwa makampuni makongwe nay a kigeni.
Pia Mkurugenzi Mwendeshaji wa the Foundation Society Mr. John Ulanga alitunukiwa cheti na tuzo ya kuwa Mwanataaluma bora wa kuigwa katika utendaji wa kazi. Akiwa kiongozi, amefanikiwa kuendesha organization ambayo imeshatoa misaada katika miradi zaidi ya 700 toka mwaka 2003 yenye thamani zaidi ya TZS Billion 18. Amekataa katakata kufanya kazi kwa mtindo wa kutokuwa Muadilifu. Ilibidi kipindi Fulani asimamishwe kazi kwa tabia yake ya uadilifu wa kupita kiasi. Hata hivyo baada ya ukweli wa fitina kujulikana ilibidi bodi yote ijiuzulu na kumfanya Mwanataaluma John Ulanga kuanza kupanga safu mpya ya maafisa wake baada ya wababaishaji kutimuliwa. (www.thefoundation-tz.org).
Big up Wanataaluma mliopata tuzo. Kazeni Buti (Kwa msemo wa vijana wetu wa mjini)
Katika hafla hiyo iliyohusisha viongozi wa taasisi mbalimbali, wizara, wanataaluma, wafanyabiashara na wanataaluma wengi, Takribani Million 30 Zilipatikana ikiwa ni ahadi na makusanyo.
Baadhi ya matukio yaliyovutia ilikuwa ni mnada wa vitu mbalimbali. Katika baadhi ya vitu:
· Picha ya Raisi Kikwete ilinunuliwa kwa Shs Million 1
· Picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Shs 1 Million
· Picha ya Spika TZS Laki 3
· Pen ya Spika (Gold Plated) ambayo aliitumia kusaini Wakati akiapishwa kuwa Spika TZS 1.5 Million
· Na Tai ambayo Spika aliivua na kuitoa kwa Mnada TZS Laki 5.
Kwa habari zaidi, tembelea tovuti ya TPN:www.tpntz.org, Kujiunga na TPN, tuma barua pepe register@tpntz.org
Kujiandikisha uanachama ni TZS 100,000.00 na Ada ya Kila Mwezi ji TZS 20,000.00. Tuma maombi na utaletewa fomu maalumu ya kujiunga rasmi. Kila mwanachama hai kwa sasa lazima ajiandikishe na kulipia ada.
Be Prepared for the true Mentorship and Inspirational Seminar – No blabla, no politics. This is Special for New Year
Date: Thursday 10th January 2008
Dinner will be served.
Details will be provided later.
Posted by (0) Comment